naibu waziri kapinga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Naibu Waziri Kapinga asema Tsh. Bilioni 4.6 zitapeleka umeme migodini Mkoani Ruvuma

    Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali imetenga takribani shilingi bilioni 4.6 kupeleka umeme kwenye maeneo ya migodi mkoani Ruvuma. Kapinga ameyasema hayo Agosti 18, 2024 wakati akizindua Kituo cha Mauzo ya Makaa ya Mawe ya kampuni ya Market Insight Limited (MILCOAL)...
  2. ChoiceVariable

    Naibu Waziri Kapinga: Bado Vijiji 151 tu Nchi nzima kufikiwa na umeme

    Nawakumbusha tu kwamba Bado Vijiji 151 Tanzania nzima kuwa na umeme na kati ya hivyo Wakandarasi wako site. --- Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema vijiji 151 tu nchi nzima ndio ambavyo bado havijafikiwa na huduma ya umeme kati ya vijiji zaidi ya 12,000 ambapo wilayani Ludewa mkoani...
Back
Top Bottom