Nawakumbusha tu kwamba Bado Vijiji 151 Tanzania nzima kuwa na umeme na kati ya hivyo Wakandarasi wako site.
---
Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga amesema vijiji 151 tu nchi nzima ndio ambavyo bado havijafikiwa na huduma ya umeme kati ya vijiji zaidi ya 12,000 ambapo wilayani Ludewa mkoani...