naibu waziri sillo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Sillo: Kamera 6500 Kuwekwa Majiji Manne Tanzania

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Daniel Sillo amesema Serikali iko mbioni kufunga mitambo ya camera za uchunguzi takribani 6500 kwa kuanzia na Majiji makuu manne ili kupunguza uhalifu na kuimarisha ulinzi na usalama kwa Wananchi. Amesema hayo akiwa kwenye ziara ya kikazi Mkoani Kagera...
  2. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Sillo aja na majawabu ya kilio cha wakazi wa Bashnet, Babati vijijini

    Zaidi ya Sh 115 Milioni zitatumika kujenga Kituo cha kisasa cha Polisi katika Kijiji cha Bashnet Wilayani Babati ili kukidhi haja ya kusogeza Huduma za kipolisi kwa Wananchi. Hayo yamesemwa leo Julai 23, 2024 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mhe...
Back
Top Bottom