Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Daniel Sillo amesema Serikali iko mbioni kufunga mitambo ya camera za uchunguzi takribani 6500 kwa kuanzia na Majiji makuu manne ili kupunguza uhalifu na kuimarisha ulinzi na usalama kwa Wananchi.
Amesema hayo akiwa kwenye ziara ya kikazi Mkoani Kagera...
Zaidi ya Sh 115 Milioni zitatumika kujenga Kituo cha kisasa cha Polisi katika Kijiji cha Bashnet Wilayani Babati ili kukidhi haja ya kusogeza Huduma za kipolisi kwa Wananchi.
Hayo yamesemwa leo Julai 23, 2024 na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mhe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.