nakupenda

  1. Utajuaje anakupenda?

    Habari wakuu? Nipo kwenye mahusiano na mwanamke ana mtoto mmoja, ambaye alimpata akiwa ndoani lakini baadae baba wa huyo mtoto alikufa kwa ajali. Anamtambulisha huyo mtoto kwangu kama baba yake kamili(kwangu hili sio shida) Nataka nitoke kwenye ujana nafikiri huu ni muda sahihi kwangu wa kuoa...
  2. Tanzania nakupenda kwa moyo wote

    Ni wakati wa kumwomba Mungu. Ni wakati wa umoja. Tanzania nakupenda.
  3. Nakupenda Kritika

    Nakuja mbele yenu wana-MMU kutangaza wazi kabisa kwamba nampenda huyu mrembo wa kuitwa kritika . Kilichonivutia kwake Japo nimeoa, naahidi kukupenda katika shida na raha, utamu na uchungu, ups na downs zooote. Msishangae kuona nimeoa halafu namtongoza kritika , mwenzangu amepitia machungu mengi...
  4. C

    Uchaguzi 2020 Bernard Membe nakupenda sana, nakuomba umuachie Tundu Lissu agombee tuiondoe CCM madarakani

    Kwa dhati ya moyo wangu napenda kukiri kuwa mimi ni admirer wako toka ukiwa Waziri wa mambo ya Nje wa Tanzania. Lakini kwa hali ya Siasa ilivyo nchini mwetu na kiu ya watanzania kuondokana na kivuli kizito kilichodumu kwa zaidi ya miaka 59 cha umasikini uliokithiri, ujinga, maradhi, ukiukwaji...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…