namanga

Namanga is a town divided by the Tanzania-Kenya border. It is in Longido District, Tanzania and Kajiado County, Kenya. It is around 110 kilometers from Arusha, Tanzania. Namanga's economy has been heavily dependent on tourism since 2004 as tourists visiting the nearby Amboseli National Park passed through the town from Nairobi which is 183 kilometers from Namanga. The town is surrounded by hills from both the Tanzanian side and Kenya. Mount Kilimanjaro can be viewed from Namanga town which makes it a scenic place by tourists who lodge in Namanga on their way to either Tanzania or Amboseli. The nearby Ol Doinyo Orok mountain, also known as Namanga Hills is located northwest of Namanga town. Namanga's latitude is S 2°32'39.8" and longitude E 36°47'20.2". The town has an urban population of approximately 10,000 while the rural population is approximately 5,500.

View More On Wikipedia.org
  1. The Watchman

    Arusha: serikali yafanya uboreshaji barabara ya Namanga – Sinonik – Mairouwa

    Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imeendelea kufungua fursa za kiuchumi kwa kuboresha miundombinu na kuondoa vikwazo kupitia mradi wa RISE sehemu ya uondoaji vikwazo katika barabara wilayani Longido mkoani Arusha. Meneja wa TARURA wilaya ya Longido, Mhandisi Lawrence Msemo...
  2. The Watchman

    Kampeni ya Mtu ni Afya kwa sasa imewafikia Namanga Arusha

    Kampeni ya Mtu ni Afya kwa sasa imeufikia mkoa wa Arusha na tarehe 27 Februari 2025 imeendelea katika Wilaya ya Longido mji wa Namanga na kata zake lengo ikiwa ni kuwafikia wakazi wa meeneo yote kuwaeleza manufaa ya afua tisa za kampeni hiyo. Judithi Meela ni Afisa Afya wa Wilaya ya Longido...
  3. R

    Eneo linauzwa Tegeta Namanga

    Eneo linauzwa, Lina nyumba 3 ndani yake. Mahali: Tegeta Namanga, Mtaa wa Kibera. Eneo Liko mita chache kutoka barabara ya Bagamoyo. Ukubwa: SQM 1204. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Milioni 300. Mazungumzo yanaruhusiwa. Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika. Mawasiliano: 0784 829565 0767...
  4. Erythrocyte

    Namanga: Mawakala wa forodha pamoja na Wasafirishaji Wagoma

    Taarifa zaidi hii hapa Mawakala wa Forodha pamoja na Wasafirishaji wenye magari zaidi ya 500 wa Tanzania wamefanya mgomo ikiwa ni siku ya pili katika mpaka wa Namanga uliopo katika Wilaya ya Longido Mkoani Arusha wakishinikiza kupunguzwa kwa utitiri wa kodi pamoja kutokea kwa sintofahamu kwenye...
  5. S

    Uvukaji wa border ya Namanga / Nairobi wengi wanaotumia hizi Noah wanamia njia haramu / Mizigo ya Magendo

    Habari, Ni jambo la kusikitiaha kuwa watumiaji wengi wa Noah za Namanga Arusha Wanasafirisha bidhaa za Magendo Na wenye bidhaa hizo hawavuki border Kwa kihalali. Nina video ya Mzee mmoja hapa alichukua Rushwa jioni hii ila nimeingiwa na huruma huyu Mzee asije anapoteza kiinua mgongo chake...
  6. Roboti Wa Nape

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Habari hii imerushwa ITV saa 2 hii usiku. Kamati ya Ulinzi na usalama Wilaya ya Longido Mkoa wa Arusha imekifunga chuo kimoja cha mafunzo ya kiislam kwa kutishia Amani na usalama wa nchi ambapo wamewakuta vijana walioachishwa shule za msingi na sekondari walioenda kufunzwa Imani Kali na...
  7. peno hasegawa

    January Makamba nikuulize unijibu, umeme ulianzia Singida ~ ARUSHA ~ Namanga ~ Nairobi nini kinaendela?

    Rais JPM alibuni mradi wa kisasa wa kutoa grid ya Taifa kutokea SINGIDA~ BABATI.~ ARUSHA~ NAMANGA ~ NAIROBI. Plan hii ingezalisha umeme mkubwa kwa mikoa mradi unakopitia na kuuza umeme Kenya. Sasa nyaya zimesambazwa singida hadi arusha , kutoka arusha kuelekea Namanga kuna ngozo zachuma hakuna...
  8. Medecin

    Msaada wa namba/ mawasiliano ya Clearing and Forwarding Agent wa Namanga Arusha

    Habari za majukumu wakuu, Kuna mzigo nataka kuingiza kupitia border ya Namanga, Arusha. Ombi langu ni kwa mtu anayejua kampuni au mtu ambaye ni Clearing and Forwarding Agent anayefanyia kazi pale border anipatie mawasiliano yake. Nipo mbali na eneo hilo ndio maana nimeomba msaada huo...
  9. B

    Barabara ya Njia nne Namanga- Tengeru mkoani Arusha mbona inasomeka ni Mradi wa EAC?

    Nimemsikia Mhe. Rais akisema barabara ya Namanga hadi Tengeru ni barabara iliyojengwa kwa usumbufu wa RC Arusha, nikipitia kwenye website na maandiko mbalimbali yanaonyesha ile ni barabara ya Afrika Mashariki na mipango yake ya ujenzi imeanza miaka mingi nyuma, aidha inaelezwa hiyo barabara...
  10. IAfrika

    Njama ya wanaokwepa kulipa ushuru Kenya kupitia Namanga kutoka bandari za Tazania watibuliwa

    The country is losing millions of shillings daily in a tax evasion scheme between Kenya Revenue Authorities employees and crafty importers. And as Sam Ogina reports importers and KRA officials at the Namanga border are now using fake import declaration forms to fraudulently allow trucks from...
Back
Top Bottom