namna ya kuboresha ligi kuu ya nbc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NALIA NGWENA

    Ili ligi yetu iwe bora na ya kuvutia TFF na Bodi ya ligi inapaswa kushughulika na haya yafuatayo

    Naaam!! kila ligi msimu inapoanza na kuisha lazima kuwe na malalamiko ya kuonewa haswa kwa hizi timu za kariakoo (Simba na Yanga) ni muda sasa wa Tff na Bodi ya ligi kushughulika na hizi lawama au lawama na makelele yanayojitokeza kila msimu unapoisha Tff na Bodi ya ligi ishughulike na haya...
Back
Top Bottom