Nimepotezana nae mwaka 2015,
Na 2017 mumewe akafariki dunia kwa ajari ya pikipiki akiwa anaenda kazini.
Mumewe alikuwa anaitwa ADAM alikuwa mrefu mweupe alikuwa ni fundi wa vyombo vya moto.
Wakati napotezana nae alikuwa na watoto wawili wa kiume.
Mmoja alikuwa akiitwa RUBEN alikuwa na kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.