Namtumbo District is one of the five districts of the Ruvuma Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Morogoro Region, to the east by the Tunduru District, to the south by Mozambique and to the west by the Songea Urban District and Songea Rural District.
As of 2002, the population of the Namtumbo District was 185,131.
Nimeona hii clip, wenyeji wa huko tuambieni kama ishu ina ukweli hii?
======================================
Wakizungumza na Wawakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Vita Rashid Kawawa, Wananchi wa Kijiji cha Mlalamiwa na Matepwende wamedai hawawezi kupokea zawadi za Mbunge wao wakati...
Mheshimiwa Juma Zuberi Homera ambae ni mkuu wa mkoa wa mbeya ameonyesha kuwa kiongozi aliyejitolea kuleta maendeleo na mabadiliko chanya popote anapohudumu tangu yupo TUNDURU na baadae KATAVI.
Uongozi wake umekuwa na mchango mkubwa katika kuinua maisha ya jamii, na ameacha alama ya kudumu kila...
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya amefanya msako wa Wanafunzi ambao hawajaripoti Shule za Msingi na Sekondari Vijijini ambapo katika hali isiyo ya kawaida alipofika Kijiji cha Chengena kwenye msako wa nyumba kwa nyumba amebaini uwepo wa Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33)...
Huo ndio Ushauri wa DC Kwa Vijana wa Tanzania kwamba waache kulalamikia ugumu wa Maisha na kukosa Ajira badala yake wakalime maana huko ndiko Kuna utajiri.
My Take
Huyu Kwa nini asiache u DC aende kulima Ili awe Tajiri?
Bila kuwa Chawa hatoboi mtu
----
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.