namtumbo

Namtumbo District is one of the five districts of the Ruvuma Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Morogoro Region, to the east by the Tunduru District, to the south by Mozambique and to the west by the Songea Urban District and Songea Rural District.
As of 2002, the population of the Namtumbo District was 185,131.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Pre GE2025 Wananchi wa Vijiji viwili Jimbo la Namtumbo warudisha t-shirt na fedha za Mbunge wao Vita Kawawa!

    Nimeona hii clip, wenyeji wa huko tuambieni kama ishu ina ukweli hii? ====================================== Wakizungumza na Wawakilishi wa Mbunge wa Jimbo la Namtumbo, Vita Rashid Kawawa, Wananchi wa Kijiji cha Mlalamiwa na Matepwende wamedai hawawezi kupokea zawadi za Mbunge wao wakati...
  2. M

    Pre GE2025 Vita Kawawa achia jimbo, unapinga maendeleo hata kwa ambao hawajatangaza nia ya kugombea. Achia Namtumbo yetu tunateseka sana

    Mheshimiwa Juma Zuberi Homera ambae ni mkuu wa mkoa wa mbeya ameonyesha kuwa kiongozi aliyejitolea kuleta maendeleo na mabadiliko chanya popote anapohudumu tangu yupo TUNDURU na baadae KATAVI. Uongozi wake umekuwa na mchango mkubwa katika kuinua maisha ya jamii, na ameacha alama ya kudumu kila...
  3. Waufukweni

    Fainali za Michuano ya Samia Namtumbo Cup 2024 inaendelea

    Mkongo FC imeweka historia Samia Cup! kwa kumaliza nafasi ya 3, Mechi ya Fainali inaendelea kati ya IHANGA dhidi ya LIBANGO.
  4. Miss Zomboko

    Namtumbo: Wazazi waacha kupeleka Watoto Shuleni wakiaminishwa Yesu Kristo anakaribia kurudi

    Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo Malenya amefanya msako wa Wanafunzi ambao hawajaripoti Shule za Msingi na Sekondari Vijijini ambapo katika hali isiyo ya kawaida alipofika Kijiji cha Chengena kwenye msako wa nyumba kwa nyumba amebaini uwepo wa Mtumishi wa Mungu Erick Manyanya (33)...
  5. ChoiceVariable

    DC Malenya wa Namtumbo: Msilalamike ajira hakuna, utajiri uko shambani

    Huo ndio Ushauri wa DC Kwa Vijana wa Tanzania kwamba waache kulalamikia ugumu wa Maisha na kukosa Ajira badala yake wakalime maana huko ndiko Kuna utajiri. My Take Huyu Kwa nini asiache u DC aende kulima Ili awe Tajiri? Bila kuwa Chawa hatoboi mtu ---- Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo...
Back
Top Bottom