Sio ujinga kweli kudhania kwamba, tuyakuza uchumi kwa kuzalisha tu, bila kujali tunauzaje kilichozalishwa? Kufikiri nusunusu ni ishara ya kutokomaa kiakili.
Nini hupelekea maonesho ya nanenane/sabababa na mengineyo kama ya viwanda na kilimo kufana sana? Ni mkusanyiko mkubwa wa wanunuzi, wauzaji...