nani na

Nani Alapai (December 1, 1874 – October 1, 1928) was a Hawaiian soprano singer of Native Hawaiian and Filipino descent during the early 1900s. Despite not receiving any formal musical training, she was hired as a vocalist of the Royal Hawaiian Band by bandmaster Henri Berger. She became the leading prima donna of the early era of Hawaiian music through her traveling performances with the Royal Hawaiian Band in Hawaii and on the mainland United States. Recording a number of songs, she helped popularized "Aloha ʻOe" by Queen Liliʻuokalani with one of the earliest recordings of the song. She directly and indirectly influenced many later Hawaiian musicians including Lena Machado and her adoptive grandson Kahauanu Lake.

View More On Wikipedia.org
  1. Faana

    Huyu lady soloist ni nani na anatokea nchi gani?

    Msikiliziseni na kumtazama msimsumbue
  2. S

    Mbowe siku zote alijua watekaji na wauaji ni nani na kituo chao kipo wapi, hakutaka kusema hadi alipoona itamnufaisha binafsi kisiasa?

    Nimekuwa shocked na maelezo ya Mbowe yakionyesha kumbe kwa muda mrefu amejua watekaji na wauaji ni nani, kwamba kilikuwa kikosi maalumu kilichoundwa na serikali kwa madhumuni ya "amani na usalama", kikijumuisha Polisi, TISS na JWTZ. Na hata ameeleza kwamba baadae JWTZ walichukua uamuzi wa...
  3. Father of All

    Kati ya Marekani na Israel nani bosi na nani anamtumia nani na kwanini?

    Bila fedha na silaha za Marekani, Israel ingekuwa marehemu. Huwa najiuliza. Nani anamtumia nani na kwanini? Je hapa tatizo ni uzawa wa Israel uliotengenezwa kijambazi na wazungu kupitia Biblia au wese la waarabu? Ukiangalia misaada inayotolewa na marekani kwa Israel unachanganyikiwa. Ni mingi...
  4. Mwanadiplomasia Mahiri

    Naambiwa mwenye jengo lililoporomoka Kariakoo ni Kigogo, Je nani na kwanini mpaka sasa hajatajwa?

    Huyu mmiliki wa hilo jengo lililoporomoka hapo kariakoo ni nani mpaka anafichwa hivyo? Naambiwa na mtu mzito (kigogo) Tamaa yake ya kutaka kuongeza eneo chini ya ghorofa imekula maisha ya watu? Ni wakati muafaka sasa wa kumjua
  5. comte

    Nchi inapaswa kujua Lissu alikuwa anawasiliana na nani na maudhui ya mawasiliano yalikuwa yapi

    Gazeti la the Guardian la Uingereza limeandika mwendelezo wa mgogoro wa ajira kati ya kampuni mama ya Tigo na mfanyakazi wao kutokana na kufukuzwa bila kufuata sheria kwa mfanyakazi huyo. Utetezi wa mfanyakazi umeegemea kwenye hoja kuwa hakupendezwa na kitendo cha Tigo uipa serikali mwenendo...
  6. Comrade Ally Maftah

    Peodoh Pacome Zozuzoua kiungo mshambuliaji wa klabu bingwa ya soka Young Africans

    PACOME NI NANI, AMETOKEA WAPI, NA ANA SIFA ZIPI ZINAZOMFANYA KIWIKA KATIKA SOKA LA TANZANIA Na Comrade Ally Maftah PACOME WA MCHONGO Peodoh Pacome Zozuzoua kiungo mshambuliaji wa klabu bingwa ya soka Young African ( YANGA ) amezaliwa katika mji wa Abidjan Autonomous pale Cote D Ivore ( Ivory...
  7. D

    Ikitokea kenya wakachoma mabank zikiwemo pesa hasara inakuwa ya nani na nani atalipa?

    Hili swali nimejiuliza sana mana wanakoelekea wanaweza kucoma.mabank.
  8. BICHWA KOMWE -

    Catherine Kahabi ni nani na ametoka wapi?

    Huyu binti anayejiita Catherine Kahabi ni nani? Ametoka wapi? Nimemuona mara kadhaa akiwa na Harrison Mwakyembe na anaonekana ni mtu mwenye jazba sana, anafoka na kutetema kwa fujo. Mpaka sasa nimemfuatilia kwa kina lakini sijaelewa hasa anazungumza kuhusu nini! Ni kama amerukwa na akili au...
  9. Msanii

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Leo ukisimamishwa ili ujitambulishe kuwa wewe ni nani, kwa vyovyote vile utaanza kutaja majina yako, ukiendelea mbele zaidi unaweza kutambulisha anuani unayotoka ama nasaba yako. Majina uliyonayo ni ya kupewa na wazazi ama jamii yako lakini hayana uhusiano na wewe as mtu. Lakini, unachokitaja...
  10. Erythrocyte

    Wanaojiita “Samia Queens” ni akina nani na wanatafuta nini?

    Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate. Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini) Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais...
  11. Mwande na Mndewa

    Mwisho wa siku tutawauliza CCM mlikuwa mnatetea mkataba wa bandari wa dpw kwa maslahi ya nani na kwa maslahi yapi ya ziada?

    Daaaaaaaaaah Kuna maslahi gani ya ziada kati ya CCM yetu na mkataba wa DPW ?? Budget ya hii mikutano kuhusu kinachoitwa ELIMU ya mkataba wa DPW imetoka wapi ?? Kwanini imekuwa ghafla na kwa CCM kufanya uamuzi wa ajabu ambao haujapata kutokea wa kuzunguka NCHI kuelezea mkataba mmoja tu ...
  12. Greatest Of All Time

    Orodha ya Kocha Bora wa Msimu EPL, unamchagua nani na kwanini?

    EPL imetoa orodha ya makocha sita wanaowania tuzo ya kocha bora wa msimu. Makocha hao watapigiwa kura na mmoja wao ataibuka kidedea na kutangazwa hapo baadae. Wewe ungemchagua nani? 1. Pep Guardiola - Man City 2. Mikel Arteta - Arsenal 3. Eddie Howe - Newcastle Utd 4. Roberto De Zerbi - Brighton...
  13. D Metakelfin

    William fulton ni nani na taasisi ya mangotree ni kweli inahusika na kuispy Tanzania?

    wakuu naomba kwa mwenye taarifa za huyu mzungu wa mbeya atuelezee vizuri kuhusu mi nnachojua alifukuzwa tanzania mwaka 2015 kwa kosa la kuiba taarifa za mipango ya siri ya KIUCHUMI japo mwenyewe alikana na hata mtoto wake naye amemtetea kuwa si kweli Lakini jamaa anazidi kusisitiza anaomba...
  14. mahindi hayaoti mjini

    Hii sheria imewekwa na nani na kwa faida ya nani?

    Ni Jumamosi nyingine ya mwisho wa mwezi, kama kawaida kila mfanyabiashara yuko nje ya ofisi yake akisubiri saa inne ifike ndio afungue biashara yake, vinginevyo apambane na mkono wa sheria. Hivi huu utumwa ni nani ameuleta? Kiasi cha kuogopwa hivi? Ipo kisheria kwenye katiba? Mwisho wa siku...
  15. Pascal Mayalla

    Ijue Katiba ya JMT-1: Katiba ni nini, ya nani, ya kazi gani? Msemo "Katiba ndio kila kitu" Una maana gani? Katiba ina umuhimu gani?

    Wanabodi, Utangulizi: Hizi ni makala elimishi kutoa elimu ya uraia kwa watu wa kawaida kuijua katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977. Mtoa Mada ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea kutetea haki katiba na kujitolea kutoa bure elimu ya katiba...
  16. E

    Frateli ni nani katika Kanisa Katoliki?

    Wakuu habari za muda!! Naomba kujua Frateli ni nani katika Kanisa Katoliki na Shemasi ni nani na wana ngazi gani za elimu?
  17. Ibrahimeliza

    Maswali ya msingi

    Unafanya nini.....? Unataka kuwa nani...? Una elimu gani....? Unaishi vipi....? Unaelekea wapi....? Unaelekea na nani...? Umejiandaa kutokufika...? Umejiandaa kupokelewa ukifika...? Unajua unachotaka...? Unajua mahitaji yako...? Unajitambua...? Una marafiki wa aina gani...? Wanamchango gani...
Back
Top Bottom