Wakuu habari za majukumu ya hapa na pale.Naomba kama Kuna mwenye kazi au connection za kazi,mahali popote professional nimesoma ualimu,“Diploma for secondary education ”masomo ya phizikia,pamoja biologia.Pia ambazo siyo professional Kama
—⟩Ufugaji wa kuku aina ya broiler.
—⟩kilimo Cha bustani...
Mimi ni mchumi kutoka chuo Cha ushirika Moshi(MoCU)
TITLE: MR
PROFESSION: ECONOMIST
EXPERIENCE: FRESH GRADUATE
LOCATION: MBEZI-DAR ES SALAAM
Naomba kazi yoyote halali ambaye daily naweza pata kuanzia 10k .
*Naweza kuandika (Research)
* Naweza kufanya data analysis kwa kutumia SPSS na Excel...
Wakuu habari za majukumu ya hapa na pale.
Naomba kama kuna mwenye kazi au connection za kazi zote professional nimesoma kozi ya accounting with IT na ambazo si professional nafanya kwa moyo mmoja aniconnect nofanye kazi au kama ni kwakujitolea walau kwa malipo ya kujikimu. Nipo dar es salaam...
Habarini wakuu, Naitwa Richard Mashauri
Nimesoma degree ya uhasibu na teknolojia, nimejitahidi pambana kitaa na kazi mbalimbali ikiwemo ufreelancer azam pesa pamoja na kusupply mitungi ya gesi ila imetokea changamoto kwa sasa kwenye kazi yangu ya kusupply gas za kupikia, kama kuna mtu...
Habari wanajukwaa?
Nina Bachelor of science in physics (Sio ualimu).
Kutokana na ugumu wa ajira na ugumu wa maisha kiujumla, nimekuja mbele zenu kutafuta kazi. Ninauzoefu wa kufundisha kwa miaka miwili sasa( Theory na practicle) kwa O level na A level.
Nipo tayari hata kwa Interview, sambamba...
Habari wakuu,
Mimi ni fundi rangi za nyumba, nina uzoefu wa miaka zaidi ya 10 katika kazi hii. Ninauwezo wa kufanya kazi hii kwa ustadi mkubwa.
Napenda kuchukua nafasi hii kuwaomba kazi ama connection ya kazi, nawaahidi ufanisi wa kazi uliotukuka na uwaminifu mkubwa.
Mimi napatikana Dar es...
Name: XX
Age: 23
gender: MALE
Academy: CERTIFICATE,GRAPHIC DESIGN
Professional: DRIVER/VETA, NIT, RFC, JKT, PREPARATION OF AGRICULTURAL SEEDS.
Experience : PASTA INDUSTRY, NIDA, SUMA JKT, MAGAMBA GOLD MINE'S, T, MARK SALES
region : DAR ES SALAAM
Contact : 0695581138 or 0613 654 307
Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.