nape atumbuliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Baada ya kuzamia shimoni tangu atenguliwe, Nape Nnauye atinga Bungeni

    Wakuu, Kama mnakumbuka Julai 21, 2024, Nape alivuliwa rasmi cheo cha Waziri wa Habari na tangu hapo ni kama alienda kujificha kwenye handaki. Alijiondoka X(Twitter) na hakufanya interview hata moja kutoka wakati ule. Kwa mtu kama Nape ambaye ilikuwa kawaida kuropoka na kujibizana na raia...
  2. J

    Uzuri wa Comedy journalism Unasifiwa ukiwa na Cheo na Unapondwa Ukitumbuliwa, Kitenge na Zembwela ni kama sasa hawawajui Nape na January!

    Ukisikiliza wanavyochambua Magazeti na kuwaponda Watumbuliwa wa hivi karibuni huwezi amini kama Nape alikuwa Boss Wao juzikati tu na walimtukuza sana Ni vema hawa Watangazaji wa Kuigiza wakaweka Akiba ya Maneno Ni hilo tu Ahsanteni Sana 😂
  3. P

    Kutumbuliwa kwa Nape: Bahari inazidi kutulia na Mungu anaendelea kuamua ugomvi

    Bado Mungu anaendelea kuipigania nchi hata kama watanzania wengi wamekata tamaa. Nape alitumbuliwa na Magufuli, ikawa nongwa na mashambulizi yakaanza hadi wazee wenye heshima zao wakaingia kwenye vita ya kumshambulia Magufuli. Napę akavimba bichwa na kukosa muda wa kutafakari utumishi wake...
  4. Mhafidhina07

    Kuna anayejua sababu ya kutenguliwa kwa hawa viongozi? Karibu utujuze

    Nadhani kuna jambo halipo sawa, kuna baadhi ya watu wanakonekti doti ya TCRA kutoa pongezi kwa nape ila nadhani ni beyond to the point. Nadhani kimbelembele cha Ridhwani kuhangaika na mambo ya kimataifa wakati hajaweza kuleta impact yeyote kwa Tanzania especially kipindi kile anahangaika na...
  5. tpaul

    Nape alichoongea ni ukweli mchungu; atabaki kuwa shujaa daima

    Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Mh Nape Mosses Nnauye kasema ukweli usiopingika halafu huyu mama anakuja kumfuta kazi kinafiki wakati ukweli hata yeye mwenyewe Bi Tozo anaujua. Pia soma > Uteuzi na Utenguzi: Nape, Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Na kibaya...
Back
Top Bottom