nato vs urusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waziri wa Mambo ya Nje Marekani Marco Rubio adokeza Marekani kuacha kufadhili umoja wa kijeshi wa NATO

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema hana wasiwasi kuhusu hatma ya NATO, akisisitiza kuwa muungano huo haupo hatarini. Akizungumza katika mahojiano na Fox News, alisema nchi za Ulaya ni matajiri na zinapaswa kuwekeza zaidi katika usalama wao badala ya kutegemea Marekani. Aliongeza kuwa...
  2. NATO kutengeneza kituo cha kivita kikubwa kuliko vyote barani Ulaya. Ni kijiji kinachopakana na Ukraine karibu na Urusi

    Tangia Putin na Kiduku waingie makubaliano ya kusaidiana kivita, mambo yanaendelea kuongezeka kwa kasi ya hatari. Mfano sasa baada ya Ukraine kupewa ruhusa kushambulia ndani ya Urusi kwa kutumia silaha na makombora ya marekani, sasa wameamuwa kuwa kituo cha kivita(airbase), ambacho ni kikubwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…