nauli mwendokasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Wahudumu mabasi ya Mwendokasi wanatoza nauli zaidi ya iliyopangwa kwa kisingizio cha kukosa chenji

    Mimi nina kero moja hawa wahudumu wa mabasi ya mwendokasi wanatoza nauli zaidi tofauti na utaratibu wa nauli zilizowekwa kwa kisinginzio cha kukosa chenji. Kwa mfano nauli ya kutoka Mbezi kwenda Gerezani ni Tsh 1,250 ukitoa noti ya 2,000 unarundishiwa 500 wakisema chenji hamna.
  2. hp4510

    Napendekeza nauli ya Mwendokasi iwe elfu moja kuepusha kauli zao za 'hatuna chenji'

    Naomba kupendekeza nauli ya mwendokasi iwe elf moja Leo nimepanda mwendokasi mara 4 na hawakuwa na chenji Sijui ni stlye au ni kitu gani, vituo almost vitatu hawana 250 Ni Jambo la Aibu Sana mbona Kwa vyombo vya usafiri wa binafsi hakuna haya mambo? Mnashindwa kwenda bank na kupata change...
Back
Top Bottom