nauli za treni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Meneja Wa Makampuni

    Bei za nauli za treni za kwenda Morogoro na Dodoma zinatakiwa ziwe juu zaidi ili kuweka uwiano wa biashara kati ya mabasi na treni

    Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma. Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea...
  2. ChoiceVariable

    Nauli ya treni ya kasi Kenya ni Tsh. 400,000 wakati ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Kwa nauli hizo Gen Z wapo sahihi

    Ikiwa nauli ya SGR Treni ya mwendokasi ya Kenya inayotumia diesel mwa umbali wa Nairobi-Mombasa ni Tsh. 400,000 wakati Kwa umbali huo huo wa Dar-Makutopora Kwa SGR ya umeme ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Hata ungekuwa wewe ni Gen Z utaacha kuandamana kweli na kusema Ruto Must go?😂😂😂😂 -- Wizara...
Back
Top Bottom