Habari matajiri.
Nauliza kwanini Wafanyakazi wanakuwa waaminifu Sana Kwa maboss lakini maboss hawawi waaminifu kwetu Sisi wafanyakazi?
Kweli mtu unakuwa Na shida unamuelezea boss lakini boss anaona unamdanganya daah.
Maboss zetu tunawakubali sanaaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.