nauliza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dalali wa mjini

    Nauliza TU.

    Habari matajiri. Nauliza kwanini Wafanyakazi wanakuwa waaminifu Sana Kwa maboss lakini maboss hawawi waaminifu kwetu Sisi wafanyakazi? Kweli mtu unakuwa Na shida unamuelezea boss lakini boss anaona unamdanganya daah. Maboss zetu tunawakubali sanaaaaa
  2. stabilityman

    Nauliza mbona Telegram haifanyi kazi kwangu

    Wakuu, Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu? Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
  3. U

    Nauliza eti mshambuliaji hatari wa wa Simba anayeenda kwa jina la chasambi anaasili ya mkoa gani hapa Tanzania ?

    Wadau hamjamboni nyote? Siku njema
Back
Top Bottom