Habari matajiri.
Nauliza kwanini Wafanyakazi wanakuwa waaminifu Sana Kwa maboss lakini maboss hawawi waaminifu kwetu Sisi wafanyakazi?
Kweli mtu unakuwa Na shida unamuelezea boss lakini boss anaona unamdanganya daah.
Maboss zetu tunawakubali sanaaaaa