nauliza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nauliza TU.

    Habari matajiri. Nauliza kwanini Wafanyakazi wanakuwa waaminifu Sana Kwa maboss lakini maboss hawawi waaminifu kwetu Sisi wafanyakazi? Kweli mtu unakuwa Na shida unamuelezea boss lakini boss anaona unamdanganya daah. Maboss zetu tunawakubali sanaaaaa
  2. Nauliza mbona Telegram haifanyi kazi kwangu

    Wakuu, Naomba msaada, kwa nini Telegram haifanyi kazi kwangu? Wenye uelewa tafadhali nisaidieni.
  3. U

    Nauliza eti mshambuliaji hatari wa wa Simba anayeenda kwa jina la chasambi anaasili ya mkoa gani hapa Tanzania ?

    Wadau hamjamboni nyote? Siku njema
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…