Habari wanajukwaa wenzangu najua mko poa, kama kichwa cha tangazo kinavojieleza nauza kabati langu la mninga lina mwaka mmoja tu toka nilinunue na nilinunua bei kubwa sana nadhani wengi mnafahamu mbao ya mninga ulivo imara na bei kubwa ni 6 ×5 ,lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni...
Habari za leo ndugu zangu najua mko poa, naenda kweny dhumuni langu kama kichwa cha uzi kinavojieleza, nauza kabati langu la mninga, nimelinunua lina mwaka mmoja tu ni 6×5 lina milango mitatu juu na chini na drow bei ni tsh 299,000 /= halina kipengere chochote wala changamoto yoyote ni mali...
Nauza kabati la aluminium la kioo.
Bei Tsh 120K
Ukubwa wake. (77,65,37cm)
Mahali : Dar
Simu no:0658 106 630
Utakuwa umeokoa 40% ya gharama yakutengeneza kabati jipya.
Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana.
Pia nauza friji ndogo (kama inavyoonekana pichani). Bei ni sh. 195,000/. Friji limetumika lakini linafanya kazi vizuri sana.
Vitu vyote...
Nauza makabati ya nguo na viatu ya zipu
Ni imara na zinapendezesha nyumba
Yapo ya rangi mbalimbali
Wateja wa dar unaletewa buree
Unafungiwa pia buree
Kwa wateja wa mkoani tunatuma kupitia mabasi kwa gharama za mteja
Milango 2 tsh 55,000
Milango 3 tsh 70,000
Milango 4 tsh 85,000
Mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.