Ukiitaji chochote hapo juu mkuu nicheki
Bei zangu ni za viwandani na bidhaa ni uhakika. Pia ukiitaji ushauri kuhusu biashara hizi nipo tayari
Mikoani natuma kwa uaminifu Sana
Whatsup 0764225747
Kwa Mungu yote yanawezekana
Wakuu nauza laptop aina ya Hp Pro Book, Yenye Ram 8GB, Hdd 500gb. Battery 4hrs. Haina kipengele chochote sema tu nauza kwasababu nina shida ya haraka. Napatikana -Banana-Dar Es Salaam Mawasiliano yangu ni 0628116693
Price 380,000
Nauza laptop yangu ambayo nimekuwa nikitumia kwenye mambo yangu ya maswala ya IT.
Ipo vizuri, japo kuna marekebihso kidogo utakachofanya, ni marekebisho ambayo hayaathiri utendaji wake, ni kubadilisha mkanda kwa gharama isiyozidi tsh elfu 20.
SPECIFICATION
Model: Dell Latitude E5470
Processor...
Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa
Device: Renovvo
Processor - 2.16 GHz
RAM - 4GB
EDITION - Window 10 pro
Version - 22HZ
CONDITION: Used like New
BEI : 250,000 (njoo tuongee)
0687900668 namba yangu
Napatikana hapa chuoni Dar es salaam Tumaini university (DAR TU) mwenge
Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa
Device: Renovvo
Processor - 2.16 GHz
RAM - 4GB
EDITION - Window 10 pro
Version - 22HZ
CONDITION: Used like New
BEI : 280,000 (njoo tuongee)
0687900668 namba yangu
Napatikana hapa chuoni Dar es salaam Tumaini university (DAR TU)...
Ni laptop nzuri sana na ngumu mno.
Sifa
Touch screen,
HDD 500GB,
RAM 4GB,
SCREEN 11.4INCH
VERY SLIM AND CLEAN
IPO KISUTU DSM.
BEI 230,000/=
Maongezi: Yes
Charge : 2hrs
Namba ya sim: 0783973428
Wakuu habarini.
Nina shida kidogo ya kifedha hivyo nina laptop yangu haiko vizuri kimuonekano, lakini inapiga kazi mwanzo mwisho.
Ndio ninayoitumia hata katika kazi zangu za muziki..naiuza kwa tsh 180000 tu.
Ni dell e6400 ram gb4 haddisk ina gb150.
Ukitaka nakubadilishia nakuwekea 500gb...
Nauza laptop my kabisa
Laptop HP laptop 17
Processor: 11th gen, Intel tm 1.5
Hard drive: Ram 476 GB
Memory: 16 GB
Location: dar es salaam
Contact: 0756523615
Price: 450,000.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.