nawanda kesi ulawiti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Erythrocyte

    Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

    Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana. ==== Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa...
  2. Synonyms MP

    Tusiihushishe CCM na tuhuma za watu binafsi chombo cha kutoa haki ni mahakama RC Nawanda akajitetee Mahakamani

    Hizi ngojera za kila siku kuhusu huyu mtoto aliyedai kulawitiwa na RC Nawanda ifike wakati ziache kukihusisha Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake. Si-CCM Wala Serikali ya CCM wanaoagiza mwanachama au kiongozi yoyote kuvunja Sheria ndio maana Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alimwondoa Nawanda...
  3. Kabende Msakila

    Ukifuatilia kesi ya Nawanda kwa ukaribu utaona kabisa alitengenezewa zengwe. Viongozi chukuweni tahadhari, mahasimu wako kazini!

    Team, Kuwa kiongozi ni suruba kwa kuwa unazungukwa na wengi wanaokupimia anguko; Shangwe za watu unapotumbuliwa ni nyingi kuliko unapooa au kuzaliwa ili kulinda nafasi na heshima yako siku zote usitake MTU akufikie ukiwa mmoja. Dkt. Nawanda kwa maoni yangu amebambikwa kesi na tuhuma sawa na...
Back
Top Bottom