naziri karamagi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwenyekiti CCM mkoa wa Kagera afikishwa Baraza la Ardhi la Wilaya kwa kupora ardhi

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kagera Nazir Karamagi amefikishwa katika baraza la ardhi la wilaya kwa kupora ardhi ya mwananchi katika kijiji cha Itahwa na kupanda mazao ya parachichi. Mwenyekiti Karamagi anatuhumiwa kupora heka sita. Huyu ni mmojawapo wa viongozi aliowahi kuwataja...
  2. Karamagi ashinda Uenyekiti wa CCM Kagera

    Aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Mbunge wa Bukoba Vijijini mwaka 2005-2010 Naziri Karamagi ameibuka kidedea ametangazwa kuwa mshindi katika nafasi ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera baada ya kupata asilimia 58 ya kura zote zilizopigwa Karamagi amemshinda mwenyekiti anayemaliza muda wake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…