The National Basketball Association (NBA) is a men's professional basketball league in North America, composed of 30 teams (29 in the United States and 1 in Canada). It is one of the four major professional sports leagues in the United States and Canada, and is widely considered to be the premier men's professional basketball league in the world.
The league was founded in New York City on June 6, 1946, as the Basketball Association of America (BAA). It changed its name to the National Basketball Association on August 3, 1949, after merging with the competing National Basketball League (NBL). The NBA's regular season runs from October to April, with each team playing 82 games. Its playoffs extend into June. NBA players are the world's best paid athletes by average annual salary per player.The NBA is an active member of USA Basketball (USAB), which is recognized by FIBA (also known as the International Basketball Federation) as the national governing body for basketball in the United States. The league's several international as well as individual team offices are directed out of its head offices in Midtown Manhattan, while its NBA Entertainment and NBA TV studios are directed out of offices located in Secaucus, New Jersey.
Nyota wa Golden State Warriors Stephen Curry amekuwa mchezaji wa kwanza kufikisha pointi 4,000 za pointi 3 katika katika historia ya NBA na kuongeza wasifu wake wa mchezaji bora wa Kikapu kuwahi kutokea katika NBA.
Wakati Stephen Curry alianza uchezaji wake, hakuna mchezaji katika historia ya...
Ni mchezo uliojaa wachezaji wengi Wamarekani weusi na waafrika waliobadili maisha yao kwa mishahara inayoenda mpaka bilioni 3 kwa wiki
Huwa ni vijana warefu wenye miili ya mazoezi, wanatupia pamba za bei, mkwanja upo wa kutosha, Ni ngumu kuambiwa NO wakitupa ndoano
Lakini kuna mchezo mchafu...
Katika ligi nyingi za michezo za Kimarekani, kama MLB Major League Baseball, NBA National Basketball Association, na NFL National Football League, timu zinazoshindana na wachezaji wake huitwa "Mabingwa wa Dunia"? Ukizingatia kuwa mashindano hayo yanajumuisha timu na wachezaji kutoka Marekani tu...
LeBron James and Bronny James made NBA history by becoming the first father-son duo to play together on the same team during the Los Angeles Lakers' pre-season game against the Phoenix Suns.
Bronny, on his 20th birthday, entered the court during the second quarter in a 118-114 defeat to the...
Mchezaji mstaafu na maarufu wa Basketball wa ligi NBA nchi Marekani Dikembe Mutombo amefariki leo akiwa na miaka 58. RIP the greatest shot blocker in NBA history.
==============
Basketball Hall of Famer Dikembe Mutombo – known for his shot-blocking and famed finger wave after denying...
Na mchambuzi wa mchongo Mnyunguli
Yes nawaona mbali Celtics msimu huu wakienda kubeba hii ndoo baada ya kitambo kirefu cha miaka 16,mara ya mwisho kutwaa ubingwa huu ilikuwa 2008 dhidi ya Los Angeles Lakers wababe wa jimbo la Calfonia kwa series ya 4-2.
Celtics na Lakers ndiyo mabingwa wa...
Hello bosses and roses, it has been a while...
Leo ngoja nimuongelee huyu kinda wa NBA kwa jina la Antony Edwards au Ant-Man, dogo wa 2001 tu hapa anaekipiga kwenye team ya Minnesota TImberwolves.
Huyu dogo ni hatari, kama umefuatilia NBA playoffs utaona kaongoza timu yake kuingia semi-final...
MAREKANI: Nyota wa Mpira wa Kikapu, LeBron James amevunja rekodi yake mwenyewe kwa kuwa Mchezaji wa kwanza wa Mchezo huo kufikisha Pointi 40,000 katika historia ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu nchini humo (NBA)
Mwaka 2023, 'King James' anayeichezea Los Angeles Lakers alimpita nyota...
YoungBoy may be headed back to jail as prosecutors accused him of drug use on house Arrest.
Allegedly, he told his supervisor he has no intentions of stopping.
Kituo cha NBA Africa kilichopo chini ya Shirikisho la Mpira wa Kikapu wa Marekani (NBA), kimefungua rasmi Ofisi yake nchini Kenya huko Westlands, Nairobi
Kituo hicho cha kukuza Vipaji katika Mchezo wa Kikapu kitaunga mkono mipango yote ya biashara na maendeleo ya mpira wa Kikapu ya Ligi ya...
Nyota wa Ligi ya Kikapu ya NBA, LeBron James amefanikiwa kuwa mchezaji anayongoza kwa kufunga pointi nyingi katika ligi hiyo baada ya kufikisha zaidi ya pointi 39,000.
LeBron (38) anayeichezea Los Angeles Lakers amefikisha rekodi hiyo akimpita nguli mwingine wa Lakers, Kareem Abdul-Jabbar...
Ni miaka ya nyuma sana, Wazungu walikaa chini na kugundua michezo mbalimbali ambayo ingewafanya kuinjoi maisha, kutengeneza pesa na kupata vitu vingine, hapo ndipo walipogundua mchezo wa kikapu (Basketball).
Ulikuwa mchezo mzuri tu, haukuwa ukipendwa sana, walikuwa wanacheza Wazungu tu...
Wale mnaosema Haaland ni bonge la mtu basi mje muone jitu la miraba minne huku.
Pichani ni mcheza kikapu wa NBA ambaye ni Msenegal akiwa na wachezaji wa Man City akiwemo Haaland.
Shirikisho la Mpira wa Kikapu la Marekani (NBA) limetoa orodha ya Jezi 15 za msimu wa 2022/23 kutoka Vilabu tofauti zinaoongoza kwa mauzo hadi sasa.
Jezi namba 6 ya LeBron James kutoka LA Lakers imeongoza kwa mauzo ikifuatiwa na Jezi namba 30 ya Golden State Warriors inayovaliwa na Stephen...
Uongozi unaosimamia Ligi ya Kikapu ya NBA umeboresha sera zake kuhusu matumizi ya bangi kwa kuiondoa katika kipengele cha madawa yanayozuiwa kwa wachezaji.
Hivyo, wachezaji wa NBA hawatafanyiwa vipimo kwa muda wa miaka saba kutokana na mkataba uliosainiwa na Collective Bargaining Agreement...
Shirikisho la Mpira wa Kikapu la Marekani (NBA) limesema baada ya Show hiyo yenye mahadhi ya #AfroBeats leo Februari 19, 2023, familia ya NBA itamtunuku Nyota wa LA Leakers #LeBronJames kama kinara wa Wafungaji Bora wa Ligi.
Kabla ya game ya kwanza, #PostMalone ataamsha uwanja kwa ngoma kadhaa...
Leo hii Lebron James anaivunja rekodi hiyo na atakuwa kinara wa mabao huko NBA kwa sasa King 👑 James hana mpinzani na inaaminika huenda akajengewa sanamu lake pale Ikulu ya Marekani.
Huyu Lebron ni kama ujumuishe Curry, Jordan, Magic, Shaquille na Durant ndio upate kiwango chake hivyo unaweza...
Habarini wakuu..Mimi nacheza basketball japo sio katika level kubwa kiivo ila nachezea hadi timu inayoshiriki ligi ya mkoa ya Mpira wa kikapu ya Arusha..
Kwa wapenzi wa kikapu hasa Kule Marekani (NBA) waga kuna mashindano yanaitwa NBA All-Stars ambayo hujumuisha East(Team Durant) na West(Team...
Golden State Warriors imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi ya Kikapu ya NBA 2022 ikiwa ni mara ya nne ndani ya miaka nane iliyopita.
Imeifunga Boston Celtics kwa vikapu 103-90 katika mchezo wa Fainali ya 6 uliomalizika alfajiri ya leo Juni 17, 2022.
Stephen Curry amebeba Tuzo ya Mchezaji Bora wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.