nbaa

The National Business Aviation Association (NBAA) is a non-profit, 501(c)(6) organization based in Washington, DC, United States. NBAA’s mission, according to the non-profit data and transparency organization GuideStar, is: “to foster an environment that allows business aviation to thrive in the United States and around the world.”

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    PSSSF yashika nafasi ya Kwanza katika Tuzo za Uandaaji Bora wa Mahesabu za NBAA, 2023

    MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetunukiwa tuzo ya mshindi wa kwanza ya umahiri katika uaandaji wa taarifa za mahesabu kwa mwaka unaoishia 2023, katika kundi la hifadhi ya jamii. Tuzo hiyo imepokelewa na Meneja wa Fedha, PSSSF, Bi. Vonness Koka, kwa niaba ya Mkurugenzi...
  2. Z

    NBAA wamekaza Mei hii

    Kwahiyo NBAA wanataka Wawe kama law school au mitihani imekuwa migumu kwangu tu🥲
  3. Zulu Man Tz

    Zijue Sababu Za Kuporomoka Kwa Nafasi Ya Tanzania Kwenye Global Crypto Adoption Index

    Heri ya X-Max na Mwaka Mpya Ndugu zang wa JF 🙌🎄🥂, Maana Ya Global Crypto Adoption Index. Hiki ni kipimo kimevumbuliwa na kampuni ya utafiti wa sarafu mtandao Ulimwenguni uitwao Chainalysis. Lengo haswa ya hii farisihi ni kupima je ni nchi gani watu wake wanaweka fedha kwa wingi kwenye sarafu za...
  4. MTV MBONGO

    Ugumu wa mitihani ya bodi ya NBAA(CPA) lengo lake ni nini? Watu wanafeli mnoo

    Wadau. Watu wanaotafuta CPA wanafeli mno, pepa ngumu kinyama. Hali hii inasaidia nini? Wengine wanadai Uhasibu na Ukaguzi ni mgumu, sina hakika. Wengine wanadai lengo LA bodi ni kuepuka idadi ya wataalamu WA fani kuwa wengi. Sina hakika pia, Shida ni nini?
  5. Eric Cartman

    NBAA inatakiwa kuchunguza madai ya Kigwangala na kama yana ukweli kuwafutia leseni ya kufanya auditing wahusika

    Auditing is a profession na trustworthy ya report is key to stakeholders. Iwapo madai ya Kigwangala yanaukweli upande wake aujachunguzwa na control measures za matumizi ambazo ahusiki nazo kuamua matumizi. Wahusika wa hiyo report wamevunja kanuni za auditing ethics and obligations, makosa...
  6. M

    Kutoteua Bodi ya NBAA hadi leo ni uzembe au dharau za Mwigulu Nchemba

    RAIS amateua mwenyekiti wa BOARD ya NBAA (T) NI karibia miezi 2 sasa. ILA MWIGULU hajateua Wajumbe mpaka sasa swali wake mwingulu ni dharau kwa mamlaka za uteuzi au anasubiria mpaka wapatikane wale wa lile kabila km walivyozoea kipindi cha shujaaa wa africa MADHARA YANATOKANAYO NA...
  7. T

    Elimu ya Tanzania haiishi changamoto, NBAA sasa wameamua kuuza mitihani ya CPA

    Jana nilikuwa naongea na bwana mdogo anafanya mitihani ya wahasibu ya CPA mbayo inaanza jumanne. Bwana mdogo amefanya hii mitihani muda mrefu sasa jana namuuliza unamaliza lini mbona kila mara unarudia rudia, dogo akajitetea kwamba kutokana na shughuli zake huwa anakosa muda wa maandalizi vizuri...
  8. M

    National Board of Accountants and Auditors Tanzania (NBAA) Tanzania kila muda ukiisha huchelewa kuteuliwa nyingine

    National Board of Accountants and Auditors Tanzania ina bodi ambayo huteuliwa na Rais wa Nchi. Kwa bahati mbaya sana imekuwa kawaida sasa kila ikimaliza muda huchelewa kuteuliwa nyingne na hiii imekuwa ikichelewesha kutolewa kwa matokeo yake ya mitihani husika. Kwa mfano mwaka 2017 na 2018 Bodi...
Back
Top Bottom