Tanzania tunayoitaka kwa miaka 5 mpaka 25 ijayo ni nchi yenye maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kisiasa, ambayo inawapa raia wake fursa za maisha bora na matumaini ya baadaye yenye mafanikio. Katika kipindi hiki, tunahitaji kuweka mikakati na mipango madhubuti ambayo itahakikisha kwamba...
Mambo matano ya kuyafanya
1. Kuweka mkazo katika sera zake za uendeshaji wa mashirika binafsi kuzalisha malighafi za viwandani kama alizeti, miwa pamoja na mazao ya chakula.
2. Kupunguza ushuru katika vifaa vya kilimo kama uagizaji wa trekta za kulimia ili kuweka usawa na watu binafsi waweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.