Nchi ya Japan itatumia zaidi ya dola za Kimarekani milioni 1.83 kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Shinzo Abe baadae septemba 27 mwaka huu.
Uratibu na gharama zote za mazishi kwa kiongozi huyu aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko mawaziri wakuu wote nchini humo yataandaliwa...