nchi yangu tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. smttz

    NCHI YANGU TANZANIA

    Kama taifa tunaelekea....!!!! Kila kitu ni hovyo tu...ukisikiliza maneno yao unasema yes! Watu ndio hawa, ili ukweli ni hovyo hovyo
  2. incredible mimi

    Nauchukia Utanzania wangu

    Sijawahi kujivunia Utanzania Wangu Nakumbuka nyimbo za shule za kipindi kile tulizokuwa tukiimba kwa furaha na bashasha. Tukiwa tumevalia uzi mweupe na bukta za blue, tuliimba “Mungu ibariki Tanzania” na “Tazama ramani utaona nchi nzuri” kwakweli tuliimba kwa bashasha kweli kweli. Na kwa...
Back
Top Bottom