Ndanda is a town in Mtwara Region of southern Tanzania. Ndanda is home to Ndanda High School, an A level all-boys boarding school with approximately 1200 students. The school was created by the Benedictines of Ndanda Abbey but it is now a Government school. Ndanda has the advantage of being on the road which links the coastal towns of Lindi and Mtwara with Masasi which was given a tarred surface before 1980. Another advantage is the existence of a river which supplies water to the town throughout the year. During the normal dry season of at least five months the water continues to flow from springs at the edge of the Makonde Plateau.
Ndanda has a major hospital which was also built by the Benedictines but now has some Government support. The Abbey has busy workshops for vehicle maintenance, construction, electrical installation, shoemaking, tailoring, metalwork, plumbing, carpentry and furniture making. All departments provide training to obtain National qualifications. The buildings of a leprosy hospital belonging to the Abbey became redundant and have now been renovated and added to for use as a secondary school for boys. In 2014 the O Level results were excellent and the school ranked number 5 in Tanzania.
Habari wakuu?
Baada ya serikali kunyakua madaktari na kuwapa ajira, sasa baadhi ya hospitali kuna nafasi zimeachwa wazi, hospitali ya rufaa inatafuta madktari daraja la II. Kama una ndugu yako hajafanikiwa hizi za serikali basi mjulishe! Kwa bahati mbaya leo ndo mwisho wa kutuma maombi...
MBUNGE MWAMBE AWAKUTANISHA VIONGOZI WA VYAMA VYA MSINGI VILIVYO JIMBO LA NDANDA
Huu hapa ushauri wa vyama vya ushirika vya Ndanda juu ya sheria ya mabadiliko ya ushirika
Viongozi wa vyama vya msingi kutoka Jimbo la Ndanda wameshauri sheria ya ushirika ifanyiwe marekebishi ili kuongeza idadi ya...
Siungi mkono polisi kupigwa , wala polisi kuonea watu, lakini inafikirisha kidogo, haiwezekani eneo moja hilo hilo mpigwe na kuzomewa mara mbili na mshindwe kufanya kazi iliyowapeleka pale isipokuwa operation mfanyayo ni batili
Wakiwa kwenye msako wa kukamata bodaboda wakorofi kila wakifika...
Wakuu habari,
Najiuliza serikali Yetu inashindwa wapi?, Abbasia ya ndanda nyenye wakazi wengi tu!! Wana umeme wao wa maji, umeme ni masaa 24, haukatiki, maji yao pia ni safi sana na ni 24hrs hayakatiki!
Serikali tunashindwa wapi kuwahudumia wananchi wetu
Mimi nafikiri Ifike hatua tufikie...
Habari wakuu, Unapozungumza jimbo la Ndanda, unazungumza Abbasia ya Ndanda, abbasia ya Ndanda imekuwa msaada kwa wakaazi wa jimbo hili la Ndanda, kwenye suala la maji maana wamesupply maji yao wenyewe hadi vijijini.
Kutokana na wakazi kuongezeka wanaelemewa sasa, maji yamekuwa shida sana...
Tuesday , 10th May , 2016
Mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kati ya wenyeji Ndanda FC na Yanga uliokuwa ufanyike Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara sasa utafanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam Jumamosi.
Afisa habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Alfred...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.