ndege za kivita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Echolima1

    Ndege vita za Israel na Marekani zinapiga jalamba kujiandaa kwa tukio muhimu

    Ndege-vita za Israel aina ya F-15,F-16 na F-35 zimeungana na dege la kimarekani Mama wa madege yote B-52 kufanya mazoezi ya pamoja tayari kwa tukio ambalo linategemewa kufanyika hivi karibuni.
  2. R

    Marubani wa kike walifanya shambulio la aibu na uharibifu mkubwa kwenye jamhuri ya kiislam ya Iran, kwanini Iran inasita kulipa kisasi?

    Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina. Israel ikajibu October 26, hawakurusha...
  3. green rajab

    Mchina kwa wizi kashindikana katoa F 35 ya US kama ilivyo kwa jina la J 35

    Wachina wanajulikana kwa kuloby na kuiba technology za nchi nyingine za hali ya juu na kuziendeleza na kutengeneza bidhaa za bei rahisi. Manyamela hao wametoa fighter yao chapa J 35 ila kila kitu wamekopi fighter za Marekani za F 35.. Mchina atakuja ziuza bei rahisi kila mtu apate China has...
Back
Top Bottom