Upatikanaji wa ndimu umekuwa adimu sana kipindi hiki na bei zake zimechangamka sana.
Mbadala wa wafanyabishara wengi wa chakula wanatumia ndimu ya unga, na ni sehemu nyingi sana kwa sasa ndio ndimu wanayoitumia.
Ndimu ya unga ni kisababishi kikuu cha kulegeza uume , hivyo kwa hii hali...
Wakuuu hongeren kwa mapambano ya kujenga taifa
Nataka jua faida ya ndimu ya unga na pia kama inaweza kuwa na madhara pia
Na je ina virutubisho sawa na ndimu za kawaida
Na je ina madhara yoyote kwa mwanaume hasa kwenye suala la utendaji kaz kwa via vya uzazi wa mwanaume
Naomben wataalam wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.