Ndoa Fasta
Ni ndoa ambazo Me na Ke wakutana bila kujuana vizuri na wakaamua kufunga ndoa.
Sasa mara baada ya kufunga ndoa ndio huanza kufahamiana vizuri kumbe mume wangu ana tabia hizi au kumbe mke wangu ana tabia hizi.
Wakishindwa kuvumiliana basi migogoro inaanza.
Migogoro ya muda mrefu...