Huko Kenya, pacha wawili wamemuomba mwanaume mmoja awaoe ili wasitengane.
Pacha hao wenye miaka 20 wamesema hawataki kutenganishwa hivyo waolewe na mwanaume mmoja.
Bwana Oleman Learat mwenye miaka 26 amekubali kuwaoa Anna na Emily wenye miaka 20 ili tu wasitengane.
Soma mwenyewe hapa chini...