Ule msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo.
Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa.
Ukiwa mume mkeo...
Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao....
chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,,
Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri...
Niande tu kwa kusema mkataba na maagano ni vitu ambavyo ni muhimu sana kuangalia katika maisha kabla hujaingia
Kwa kiswahili sanifu agano ni tokeo la kukubaliana au kuwekeana ahadi au mapatano
Mapatano ni maafiiano, makubaliano ,agano na ahadi
Mapatano au maagano huzaa mkataba
Mkataba ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.