ndoa za kikristo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kibosho1

    Kwa jicho la 3 ndoa za Kikristo ni mzigo kwa waume

    Ule msemo wa kosea kujenga sio kuoa huwa unakumbukwa sana kwenye ndoa yenye changamoto na changamoto hiyo ukute ni ya mwanamke utajuta na kuomba poo. Ukishafunga ndoa ni mkataba, mkataba huo unatenganishwa na kifo na uzinzi tu. Mambo mengine yoote nihayawezi kuvunja ndoa. Ukiwa mume mkeo...
  2. nzalendo

    Ndoa za Kikristo chali (Zimekufa) Je, Kanisa limekosa msaada?

    Ukweli mchungu, wengi wanaishi na maumivu mioyoni mwao.... chanzo ni malezi...malezi si kumpeleka mtoto shule nzuri tu na kumpatia mahitaji muhimu bali kumfundisha mtoto KUMCHA MUNGU,,, Tizameni upande wa pili kwa watoto wa mama mdogo(watoto wa Hajiri/Hagar)...wao bize na madrasa,,,,unafikiri...
  3. pakamwam

    Ukweli ni huu, hakuna usawa kwenye ndoa za kikristo wala ki-islam. Kama huwezi masharti nenda bomani tu

    Niande tu kwa kusema mkataba na maagano ni vitu ambavyo ni muhimu sana kuangalia katika maisha kabla hujaingia Kwa kiswahili sanifu agano ni tokeo la kukubaliana au kuwekeana ahadi au mapatano Mapatano ni maafiiano, makubaliano ,agano na ahadi Mapatano au maagano huzaa mkataba Mkataba ni...
Back
Top Bottom