ndoa za lazima

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kama sheria zinamnyima mtoto kupiga kura au kuajiriwa, kwanini zimkubalie kuingia kwenye ndoa?

    Sheria katika nchi nyingi, ikiwemo Tanzania, zimeainisha umri wa chini wa miaka 18 kama kipimo cha mtu kutostahili kupiga kura. Dhana hii inatokana na imani kwamba hawajakomaa kifikra na kimawazo vya kutosha kufanya maamuzi ya kisiasa. Kwa mtazamo huu, ni kwamba kuna wasiwasi kuhusu uwezekano wa...
  2. K

    Ndoa za lazima baada ya ushoga kuruhusiwa

    Ninajaribu kufikiria baada ya serikali za kishetani zikiongozwa na US zitakapofanikiwa kuzifanya nchi zote Duniani kuwatambua wagonjwa wa akili waliobatizwa jina la wapenzi wa jinsia moja,hatua itakayofuata itakuwa ni kulazimisha ndoa za lazima,yaani kila mwanaume let's say mwenye umri wa miaka...
  3. Tunapaswa Kuondoa Pazia la Imani za Kijamii na Kidini Zinazofunika Tatizo la Ndoa za Lazima

    Inasikitisha kuwa katika karne hii ya 21 bado kuna jamii duniani ambazo zinahalalisha na kuwalazimisha wanawake wanaobakwa kuolewa na wabakaji wao, au kuwalazimisha mabinti kuolewa na watu wasiowapenda. Shirika la Kazi Duniani (ILO) linakadiria kuwa watu milioni 40.3 ni watumwa duniani kote...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…