ndugu kusaidiana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Ukimsaidia ndugu yako usitegemee kurudishiwa fadhila/asante kutoka kwake

    Baadhi ya watu wamekuwa wakiwasaidia ndugu zao kwenye maeneo mbalimbali. Wengi wanaweza kuwasomesha, kuwapa kazi, kuwatibia pindi wanaumwa n,k. Sasa baada ya kufanya hivyo wanaamini nao siku watarudishiwa fadhila au unaweza sema asante pale anapopata changamoto fulani. Sasa anapokosa msaada...
  2. Brigadier Isaac

    Hivi ni mimi tu au watu sasa wamebadilika

    Habari za jioni kwa member wote wa JF Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana. Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo. Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona...
  3. G

    Aina ya Watu wanaowekeza kwenye misaada ili wapate kibali cha kukutangaza au kukutumikisha urudishe misaada

    Kuna baadhi ya ndugu wakikusaidia kitu kidogo wanaweza kuuchorea tatoo huo msaada iwe ni kukusomesha, kukupa hifadhi, n.k. ukija fanikiwa wanakuwa very demanding uwasaidie, hata uwasaidie mara 10 zaidi. Siku ukija kukataa utasikia yale maneno "Tulimsaidia huyu". hii hupelekea baadhi ya...
  4. S

    Methali ya mtegemea Cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga, wakinga, Wahindi, Wapemba na Waarabu ni kwa makabila mengine tu

    Kuna methali ya uongo ya ooh mtegemea cha nduguye hufa maskini Methali ya mtegemea cha nduguye hufa maskini sio kweli Kwa wachaga,wakinga,Wahindi,wapemba na waarabu ni Kwa makabila mengine tu Kama wandengereko, Wakwere, Wazaramo, Wamakonde, Wasambaa, Waha, Wafipa, Wapare, Wagogo na Wakojani...
Back
Top Bottom