TFF: Waziri Dkt. Ndumbaro hajafungiwa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesema kuwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro alishinda rufaa ya adhabu ya kufungiwa miaka saba iliyotolewa na uongozi wa TFF uliopita.
Ufafanuzi wa TFF umekuja kufuatia uwepo wa...