Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema jina la Tume ya Uchaguzi (NEC) litabadilika Ijumaa Aprili 12, 2024 na kuwa Tume Huru ya Uchaguzi.
Katika taarifa iliyotolewa leo katika mitandao ya kijamii ya ofisi hiyo imesema:
“Tunapenda kuvitaarifu...