Usinchoshe na Nsikuchoshe,Tusichoshane!
Kwanza nikiri ya kwamba Mimi ni shabiki wa kutupwa wa Young Africans
Nikiwa kama mdau wa soka na mpenda maendeleo ya mpira,nimekuwa nikivutiwa na namna ambavyo soka letu limekuwa likioiga hatua,licha ya kucharuana,kutaniana na hata kuzodoana lakini...