Hii haikubaliki hata kidogo, Neno Sanda haliwezi kukaa mbele ya jezi ya klabu yetu, tena kifuani kabisaa.
Uongozi wa Simba mbona mmelala sana?
Haya mambo yanawezaje kufanyika na ninyi mpo?
Hata kama SANDA ni ufupisho wa jina lake, basi ndio aliandike mbele ya jezi yetu?
Yaani kwq mfano...