neti za hospitali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KERO Uchafu wa chandarua katika baadhi ya zahanati, vituo vya afya, na hospitali ni changamoto kwa wagonjwa

    Hii ni Changamoto Kubwa Jamani na usiombe kulazwa ukayaona. Lakini ukiachilia uchafu pia neti hizo ni ndogo. Mfano kwa mama na mtoto wake mchanga neti mmeichomeka inawagusa Gusa na hiki kitu kinakera sana. Usiku kucha neti imewalalia mbu kuwang’ata kuko pale pale. Sekta ya Afya iangalie hili...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…