Kwema?
Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani.
Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi.
Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikuwa hivi hivi.
Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo.
Je, Vodacom...