network ya vodacom

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukuwa hewani

    Kwema? Leo majira ya saa 1 jioni hadi saa 3 na nusu mtandao wa vodacom haukua hewani. Ukipiga simu hazitoki, ukituma sms haziendi na Data haifanyi kazi. Hii sii mara ya kwanza kwani Sept 28 walikuwa hivi hivi. Waliahidi wanarudisha mabando yetu hawajarudisha mpaka leo. Je, Vodacom...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…