new member

  1. Mr Anova

    Hello Jamii Forums!

    My name is Mr Anova
  2. IsDinah

    Naomba mnikaribishe rasmi kama mwanachama wa JF

    Habari za jioni wana JF mi mgeni naomba wenyeji mnikaribishe rasmi kama mwanachama wa JF
  3. kamun

    New Member: Mimi ni kijana wa 2000

    New member naomb mnikalibishe wapendwa
  4. Nomadix

    New member: Ukisoma JF hata thread moja tu utake usitake utajiunga tu!

    Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje. Kwa miezi ya hivi karibuni since July, 2024 nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama...
  5. Ghayo TheMongo Barbarian

    New Member From Mongolian Family

    Mzukaa wana jamvi ? Yerereeee!!! Naombeni wana Jf mnipokee leo nimetimiza ndoto yangu ya kujiunga Jf kutokea Umongolian . Wanawake ninaowakubali humu ni pisi Kali BICHWA KOMWE - ,Kwa Wanamume najikubali mwenyewe . Sishabikii timu yeyote ila napenda timu ya Yanga jinsi inavyocheza na...
  6. Dasvidaniya

    New member

    Habari zenu wakuu mimi ni new member naomba mnipokee sina mengi ya kusema ni hayo tu
  7. Malaika wa Waha

    Nimefurahi kujiunga JamiiForums kwa mara ya kwanza

    Nilikuwa nikitumia JF kama Guest tangu zamani ila sasa nimefungua akaunti rasmi.
  8. 1999s

    Hello, I'm a new member to JF. Please, your cooperation will be meaningful to me

    As the the heading is read above, just need your cooperation.
  9. O

    Hodi JF

    Mimi ni member mpya. Naomba mnipokee wana-JamiiForums.
  10. CM Captain

    It's a new member!

    Hello! I am new here..
  11. Forfofo

    Uzi wangu wa kwanza

    Huu ndo uzi wangu wa kwanza humu, mnikarbishe lkn yote ya yote umri umefika sasa kuwa na ndoa miaka 29 si haba. Kwaio connection yenu ni muhimu kuhakikisha hili linafanikiwa. Kuanzia kuniungishia pisi humu, na kupush nitakapokwama si mnaelewa kuna michango pia! Asanteni niko humu.
  12. C

    Nimependa kujiunga nanyi

    Habarini jamii forums nipende kujiunga nanyi katika jukwaa hili adhimu kushiriki na kuleta mijadala yenye tija Kwa taifa na jamii Kwa ujumla Ikiwa na lengo la Kulinda Amani mshikamano na umoja Jamii forums sio ngeni kwangu though kumetokea mabadiliko makubwa ambayo yamechagiza turudi tena huku...
  13. S

    Hello, Rashidi Fukwa a new member here!

    Hello group, I am a new entrant!
  14. Pakiatwendwe

    New member

    Niaje wakuu JamiiForums mitano tena nimelipenda hili chama limenifurahisha nimeamua kujiunga nalo sina mengi.
  15. L

    New Member

    Hello guys, Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi. Shukrani
  16. Internet for life

    New member

    Hello, ninafuraha kubwa kuwa miongoni mwa member humu ndani.
  17. The dumb Professor

    Wenyeji nipokeeni

    Hodi hodi uwanjani, Wenyeji nifungulieni, Clamyidia mi mgeni, Wenyeji nipokeeni. Ninagonga mlangoni, Majirani tusiwaamsheni, Clamyidia nifungulieni, Wenyeji nipokeeni. Naskia JF sio gengeni, Hakuna stori za vijiweni, Great thinkers wamesheheni, Clamyidia nipokeeni. Insta na FB ndio kwetu...
  18. Anchor g

    Hello, New Member

    Mgeni kutokea +254, love you all jamii members
  19. V

    New Member

    Hello JF members, happy to join you.
  20. captain Goode

    New member

    Habari zenu wakuu mimi ni fundi friji, nafurahi kujiunga nanyi. Natumaini kujifunza mengi.
Back
Top Bottom