Usafiri wa Mabasi ya Newala, Mtwara ni changamoto sana na ni shida ya mda mrefu sana.
Wafanyabiashara wa mabasi wanafanya biashara kwa kubahatisha; service hazifanyiki vzur na kwa wakati hali inayopelekea magari kuharibika sana njiani na hta kuweza kusababisha ajali barabarani.
Naomba serikali...