Huku Mbeya wilaya ya BUSOKELO nimeona mchanganuo wa gharama za mafunzo kwa miezi 6 kwa kila mmoja ni 2,359,940 Tshs.
Hapo ni gharama za ada ya mafunzo vifaa, bima ya afya, malazi na chakula.
*Malazi 50,000 kwa mwezi.
*Chakula 6000 kwa siku.
Kusema ukweli nilitegemea kwamba kutakuwa na kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.