Huo ndio Ushauri wa DC Kwa Vijana wa Tanzania kwamba waache kulalamikia ugumu wa Maisha na kukosa Ajira badala yake wakalime maana huko ndiko Kuna utajiri.
My Take
Huyu Kwa nini asiache u DC aende kulima Ili awe Tajiri?
Bila kuwa Chawa hatoboi mtu
----
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo, Ngollo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.