Karibu binti na mwana wa Afrika.
Moja ya maeneo ambayo yanasumbua na kutesa watu, ni mahusiano, hasa katika mapenzi au ndoa.
Kujiua, kuuwa, kukata tamaa, uraibu, ulevi, uzinzi, roho mbaya, utapeli, wizi, uongo, na maovu mengi husababishwa na Mahusiano au ndoa.
Hakuna siku itaisha na...
Kuna maandiko yanasema: Basi njoo unilaanie watu hawa; maana wana nguvu kunishinda mimi. Labda nitaweza tupate kuwapiga, niwafukuze watoke katika nchi yangu, kwa maana najua ya kuwa yeye umbarikiye hubarikiwa na yeye umlaaniye hulaaniwa.
1.Laana ni sehemu ya kuua nguvu na laana hutoka kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.