nguvu ya serikali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ya harufu ya TREASON dhidi ya serikali isiyo ya samaki; ya wapuuzi wanaotaka kuishika serikali kwa kidole kimoja

    Unanisukuma nakuangalia ila ujue nikifika ukutani sitokuwa na sehemu ya kwenda. Umeshanifikisha ukutani kwa "ugobo wako" narudia tena kukurai niache bwana kwani mimi ni mtu mwema lakini bado husikii tu ,unanikwida shati na kutaka kuninin'giniza kwa kidole kimoja 😲😲 Hata huyo chawa tu havunjwi...
  2. Kuna watu wenye nguvu nchini kuizidi Serikali?

    Kama aliyewahi kuwa katibu mkuu wa Wizara nchini anaweza kutapeliwa akiona, wanyonge halisi hufanyweje? Mama Zahara aliwahi kuwa katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, lakini bado alitapeliwa kiwanja chake na Mzee Mushi. Yaelekea Mushi ni mbabe sana. Hawaopgopi wasomi wala viongozi wala Serikali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…