MASIKINI WEZANGU - NGWEA.
Wachache ndo wanaishi wengine maescorts/
Twiga wanapanda pipa hata bila ya passports /
Mikoa mingi bado haina hata airports /
Zaidi ya migodini madini kuyaexport /
Bila ya wazawa kufaidika /
Ndo mana Wanzanzibara wamechoka kutanga na nyika /
Big up Mandela leo South...
dereva funga brake tushafika kwenye party
eeeh bwana eh kumbe bonge la party
cheki mademu kibao utadhani kitchen party
duh! cheki lile anti lililovaa skintight
ee bwana eh! liko safi
sio mchezo babake unaweza ukahonga laki
aah wapi! mtu kama mi hanipati
usawa wenyewe huu wa kulenga kwa manati...
NGWEA - ZAWADI
___________________
JEAH!
MOJA KWA MOJA TOKA CHAMBER
NGWEA NA EAST ZOO YOU DOJO KAYA
FELOO
VERSE 1
__________
UZURU WAKO WA TABIA UMBO NA SURA NDO ULIONIFANYA SOMETIMES NISHINDWE HATA KULA /
NIMESHASUMBUKA SANA MPAKA KUKUPATA ULISHANITUKANA SANA LAKINI TAMAA...
Naanza na East Africa,Kuna wanamuziki ambao tangu niwajue hawajawahi toa ngoma mbovu msijichoshe sana wapo wawili:
Tanzania
Albert Mangwea[A.k.a Mimi] (R.I.P)
Huyu Jamaa hajawahi bahatisha,mbali na Akili nyingi nguvu kidogo,alikuwa na Akili ya kucheza na melody kama Kiroboto ila alikuwa ana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.