The NHIF Civil Servants Scheme Scandal is an alleged scandal, relating to irregularities that were revealed in the Kenya Civil Servants Scheme at the National Hospital Insurance Fund, in early 2012.The alleged irregularities included payment to ghost clinics, unprocedural selection of clinics and creation of an unapproved unit at the NHIF.The scandal was subject to a probe by the Health Parliamentary Committee. Most of the alleged claims were found to be incorrect with time by various enquiry commissions, however investigations are still going on.
Naomba niaze na maswali chokozi haya yafuatayo kabla ya kwenda kwenye hoja yangu;
1. Hivi mtu anaweza akafoji mzazi, mtoto, mwenza, mkwe nk
2. Ikiwa ni kweli mtu anaweza akafoji hao watu, je kwenye mfuko wa bima ya afya kunakuwa na hasara gani?
3. Hivi mtu anaweza kusajiliwa mara mbili kwenye...
Serikali inakamilisha Utaratibu wa Kaya zisizokuwa na uwezo kupatiwa Bima za Afya za NHIF ambazo zitalipiwa na Serikali ili Kaya hizo ziweze kuwa na Bima hizo sambamba na kuondoa changamoto na Malalamiko ya wananchi kutoka katika Kaya hizo.
Hayo yameelezwa na Meneja Mfuko wa Taifa wa Bima ya...
Wakuu,
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Dkt. Irene Isaka, amesema mfuko huo unaendelea na mazungumzo na Hospitali ya Aga Khan ili kurejesha huduma za bima kwa wanachama wa NHIF katika kituo hicho jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma...
Wastaafu Kufuata Huduma ya NHIF Dodoma Sasa Limekwisha
"Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita Aliandika Barua Kwenda Wizara Ya Afya Kuomba Wazee "Wanatakiwa Wasije Hapa Dodoma Ama Kwenda Ofisi Za Mikoa Kwenda Kuhudumiwa Kule Na, Tumeiona Barua Yako na Mimi Nikwambie Sasa Wale...
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza vifurishi vipya vya bima katika makundi mawili ya Serengeti Afya na Ngorongoro Afya, kifurushi cha chini kikiwa ni Sh. 240,000 na cha juu Sh. 6,388,400 kwa mwaka.
NHIF imeainisha pia mafao yatakayotolewa kwa kila kifurushi na ukomo wa matumizi ya...
Baadhi ya Watumishi wa NHIF Kibaha Mkoani Pwani huduma zao sio nzuri, pia lugha zao pia sio rafiki kwa wateja, nimeshuhudia hali hiyo mara kadhaa na Wateja wengi wamekuwa wakilalamika.
Mfano kuna mtu aliambiwa na mtumishi mmoja wa hapo “Wewe chizi nini! Kwani umezaa na baba yako...?” Kisa...
Nimeona member mmoja anajiita Robert Heriel Mtibeli anaungana na RC chalamila na kusema kuna bima ya Elfu 40 ina cover mpaka uzazi , Ultrasound,X ray ...etc
Naipataje mnaoijua ?
Wakuu,
Shirika la Taifa la Bima NHI hivi karibuni limebadilisha bei na majina ya vifurushi vyake.
Mabadiliko haya yalitangazwa tangu December 17th 2024 na sasa umepita takriban mwezi mmoja tangu mabadiliko hayo yafanyike.
Badala ya bei ya Tshs 194,000 sasa vifurushi vitaanzia 240,000 kwa watu...
Sijajua wanajikuta wao ni kina nani..
Mtu unafuatilia bima zaidi ya miezi mitatu na majibu yao ni simple tu..
Tutafuatilia na ukifika ofisini wanakupa namba ya ofisi ambayo ni 0734163431 ili ufuatilie ..
Lakini hiyo namba Haipokelewi milele na milele..
Waziri wa afya please hebu fuatilia hawa...
DR. IRENE C. ISAKA, DG WA NHIF
Hadi mwishoni mwa mwaka 2021 ni 15% ya Watanzania walikuwa wanapokea huduma za tiba kwa njia ya bima ya afya.
Takwimu hizi zilijumuisha 8% kupitia taasisi ya NHIF, 6% kupitia taasisi ya iCHF, na 1.3% kupitia mifuko ya bima inayoendeshwa na watu binafsi.
Sasa...
HOTUBA YA MKURUGENZI MKUU DKT. IRENE ISAKA KWENYE UZINDUZI WA MIFUMO NA MPANGO WA TOTO AFYA KADI
DODOMA, TAREHE 17 DESEMBA, 2024
Waziri wa Afya na Mgeni Rasmi, Mhe. Jenista Mhagama (Mb),
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge – Afya na Ukimwi
Katibu Mkuu-Wizara ya Afya, Dkt. John Jingu...
NHIF wamefuta Najali ambayo mtu mmoja alikua analipa 192,000/=, Wekeza 384,000 na Timiza 516,000/=
Wametambulisha vifurushi vipya ambavyo ni Serengeti Afya 660,000 na Ngorongoro Afya 240,000 kwa mtu mmoja kwa mwaka.
Wamebadili kifurushi cha watoto ambacho awali kwa mtoto ambaye bado hajaanza...
Hili shirika linahitaji kufutwa tuanzw upya.
Hakuna wanacho kifanya.. unafutaje kifurushi cha 50K kwa watoto na unaweka cha 150K na mtu akilipia anataliwa kusubiri 3 months kuweza kupata hu
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kufutwa kwa sharti la kuwa na wanafunzi 100 ili waweze kusajiliwa na kupata huduma za bima badala yake wanafunzi watatakiwa kuchangia 50,400 kuanzia Januari 2025
Tangazo hilo lilitolewa Desemba 5, 2024, jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Huduma za...
Jamani mi natoa ya moyoni leo kwasababu naamini hapa JF ndo sehemu pekee nitaongea na kero yangu ikatatulika.
Huwa tunaambiwa mteja ni Mfalme, lakini huu ufalme mbona kama umegeukia Kwa watoa huduma?
Hili suala nilishaliona sana NHIF lakini kwasababu sikuwa na pa kuongelea basi likawa linauma...
Leo nimeenda kutibiwa Selian hospital Arusha, kilicho nishangaza ni kwamba kwanza ni kama NHIF hawana dawa za kutosha pale, nimeambiwa Paracetamol na Bluefen kati ya dawa za maumivu et nikanunue duka la dawa nje ya hospitali.
Sasa najiuliza Bima haina dawa hizo 2 za maumivu je zimeisha ghafla...
Habarini wanajamvi natumaini mpo salama.
Kuna hii ishu ya NHIF kuwahi kukatisha muda wa subscription ya BIMA za wanafunzi wa chuo cha UDSM ambapo BIMA zilitakiwa ziishe mwezi wa 11 badala yake zimekatishwa na kumalizia Oktoba 8.
Hii imeleta changamoto kwa watumiaji wa Bima hizi kwani wengi...
Mhe. Jenista Mhagama, Waziri wa Afya, na Mbunge wa Jimbo la Peramiho, mkoani Ruvuma, Tanzania
I. Usuli
Kwa mujibu wa Dokezo la Kisera (Policy Brief) linalojadiliwa hapa, ninyi Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, na Mkrugenzi Mkuu NHIF, Irene Kisaka, mnakumbushwa kutekeleza majukumu yenu vizuri...
Kwa mawazo yangu ya kawaida bila kutumia akili za shuleni kwetu kuna vitu havipo sawa kwenye chi hii.
Mfano: Unaenda RITA unafanya maombi ya cheti cha kuzaliwa cha mtoto/watoto etc.. unapewa control number unalipia baada ya muda unafata cheti chako kipo tayari.
Cheti kipo tayari kwa matumizi...
Wamiliki wa dispensary zinazopokea BIMA ZA NHIF huwa mnalipwa baada ya muda gani?
personal experience
Nilienda Aga khan Dar nikaona tangazo kua hawapokei NHIF labda zinazotoka bank kadhaa ila siyo NHIF ya kawaida.
Hivyo ilinijia akili kua hawa jamaa hawalipi kwa wakat na pia nishapata sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.