Kwenye maisha haya usisubiri raha kuwajua watu wako wanaokuzunguka bali subiri shida zikupate ndio utawajua watu wanaokuzunguka!
Bado nashangaa sana pamoja na madhaifu ya huyu mtangazaji DIva kama walivyo binadamu wengi ni wazi hata kama mtu hampendi au unamchukia lakini linapomkuta tatizo ni...
Sitokua na maneno mengi, ila pamoja heshima zenu kuzingatiwa , nitambue wana jf popote walipo kila mmoja kwa imani yake , Mungu akawe juu yenu.
Poleni na janga la ghorofa Kariakoo ambalo limepelekea kuwapoteza ndugu zetu baadhi na Mungu Mwema atawapumzisha pale panapostahili.
Rejea kichwa...
Tarehe 16 Novemba 2024 eneo la Kariakoo Dar es salaam kulitokea tukio la kuporomoka kwa jengo la biashara. Wakai jitihada mbalimbali zikifanywa na Serikali na sekta binafsi kuhusiana na jinsi ya kuwaokoa watu katika eneo hilo , zilipatikana taarifa za watu wasio na mamlaka yoyote ya kisheria ya...
Kuna watu wameumbwa tofauti na wana mioyo ya huruma. Huyu dada anaitwa Niffer naona amefanya jambo la kiungwana tu na amesukumwa na nia nzuri.
Sema tu shida labda hakuweza kuijua sheria ya mambo ya kukuzanya michango.
Lakino nashangaa watu wamemjia juu na vifungu vya kisheria, mara sijui penal...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.
Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu...
choo
diva
eatv
ghorofa
ghorofa kariakoo
jeshi la polisi
kariakoo
kuchangisha
kumpiga
kupitia
kushindwa
maafa kariakoo
maafa ya kariakoo
marufuku
michango
niffernifferakamatwa
serikali
wahanga wa ajali
wahanga wa kariakoo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.