A coup d'état occurred in Niger on 18 February 2010. Soldiers attacked the presidential palace in Niamey under weapons fire at midday and captured President Mamadou Tandja, who was chairing a government meeting at the time. Later in the day, the rebels announced on television the formation of the Supreme Council for the Restoration of Democracy (CSRD), headed by chef d'escadron Salou Djibo.
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amedai kwamba viongozi wa nchi za Afrika hawana shukrani. Macron aliyasema maneno hayo mnamo tarehe 6 January 2025 wakati akiwahutubia wanadiplomasia wa Ufaransa wanaoiwakilisha nchi hiyo katika nchi mbalimbali.
Macron alisema kwamba mfano viongozi wa nchi za...
Niamey , Brussels.
Umoja wa Ulaya( EU) umemuita nyumbani balozi wa Umoja huo nchini Niger leo tarehe 23 Novemba 2024. Hatua hiyo imekuja baada ya serikali ya Niger kuukosoa umoja huo kwa kitendo cha kupeleka msaada nchini Niger bila kuipa taarifa serikali ya Niger.
Katika tarifa yake serikali...
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron amesema watachukua maamuzi hayo kutokana na Mapinduzi ya Kijeshi yaliyotokea Niger ya kumuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum.
Amesema “Tutatekeleza hilo ndani ya saa kadhaa zijazo, Balozi na Wanadiplomasia wetu watarejea nyumbani, hivyohivyo kwa vikosi vyetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.